Jumatano, 25 Septemba 2013

(INTERVIEW) SHEDY CLEVER AONGEA KUHUSU DAYNA NA ALIVYOSHTAKIWA KUHUSU BEAT;


Kama hukuwahi kupata kuiskia Interview ya Shedy Clever producer wa ngoma nying tuu, ikiwemo na NUMBER ONE ya DIAMOND ambayo imesababisha utata, mpaka kufikia msanii wa kike DAYNA kwenda kumshtaki producer huyo kunako husika, basi sasa Hichi ndio alichoongea SHEDY baadaa ya kupata Barua ya mashtaka:

TOA MAONI YAKO HAPA:

0 comments:

Chapisha Maoni